Majanga nyumba ya zitto kabwe yawaka moto


Zitto Kabwe
Tumepata ajali kidogo. Nyumba yangu ninayoishi katika eneo la Kibingo, mji mdogo wa Mwandiga, Kigoma imeteketea kwa moto jioni hii. Alhamdulillah, kuwa hakuna binaadam aliyeumia.
Nawashukuru Jeshi la Zimamoto, majirani zangu pamoja na wananchi wenzangu kwa ushirikiano walioutoa mpaka kuuzima moto husika. Kwa sasa Jeshi la Polisi wanafanyia kazi kujua chanzo cha ajali.
Naomba wananchi wawe watulivu wakati Polisi wanaendelea na uchunguzi husika.
Nairobi - Kenya
Septemba 16, 2017

Post a Comment

Previous Post Next Post